POLISI SHINYANGA : MAANDAMANO YA CHADEMA KESHO SEPTEMBA 01 SIYO HALALI..YANAASHIRIA UCHOCHEZI



Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro  akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi ambapo amewataka wakazi wa Shinyanga kutoshiriki maandamano yaliyoandaliwa na Chadema kesho Septemba 01,2016-Picha zote na Abeid Suleiman-Malunde1 blog

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro


Waandishi wa habari wakiandika dondoo muhimu

Hii hapa taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kuzuia maandamano ya CHADEMA

BOFYA <<HAPA>> KUONA PICHA ASKARI WA JESHI LA POLISI SHINYANGA WAKIFANYA MAZOEZI KUJIANDAA KUKABILIANA NA UHALIFU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527