Mbowe akiwa na msafara wa magari nane walikutana na ulinzi huo makali ambapo magari ya Mbowe na Wakili Peter Kibatala ambaye alikuwa na Tundu Lissu ndio yaliruhusiwa kuingia.
Mbowe Atii Wito wa Jeshi la Polisi
Mbowe akiwa na msafara wa magari nane walikutana na ulinzi huo makali ambapo magari ya Mbowe na Wakili Peter Kibatala ambaye alikuwa na Tundu Lissu ndio yaliruhusiwa kuingia.