Mbowe Atii Wito wa Jeshi la Polisi

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema), Freeman Mbowe leo july 31 amewasili makao makuu ya jeshi la polisi kuitikia wito wa kuhojiwa na jeshi hilo huku hali ya usalama ukiwa imeimarishwa kabla na baada ya Mbowe kuwasili . 


Mbowe akiwa na msafara wa magari nane walikutana na ulinzi huo makali ambapo magari ya Mbowe na Wakili Peter Kibatala ambaye alikuwa na Tundu Lissu ndio yaliruhusiwa kuingia.

 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527