Hii Hapa Orodha Mpya ya Viwango Vya FIFA Duniani Imetoka Leo Julai 14 2016

Ni kawaida kwa shirikisho la soka duniani kote maarufu kama FIFA, kutoa viwango vya soka kila baada ya kipindi fulani katika mwaka, leo July 14 2016 shirikisho hilo limetanza viwango vipya vya FIFA ambapo timu ya taifa ya Argentina inaongoza kwa kushika nafasi ya kwanza.

Kwa upande wa ukanda wa Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda, nchi ya Uganda imeonekana kuongoza kwa kuwa nafasi ya 69 ikifuatiwa na Kenya 86, Rwanda 111 na Tanzania ikiwa nafasi ya 123. Hii ni list mpya ambayo imetoka leo Julai 14 ,2016,

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post