Hawa Ndiyo Viongozi Wapya wa Stand United...Dkt. Ellyson Maeja Ang'aa Uenyekiti


Mwenyekiti mpya wa Stand United Dkt. Ellyson Maeja akizungumza baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa klabu hiyo


Hawa ndiyo Viongozi wa Klabu ya Stand United (CHAMA LA WANA) ya mjini Shinyanga waliochaguliwa leo katika uchaguzi uliofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga.

Mwenyekiti- Dkt. Ellyson Maeja

Makamu Mwenyekiti-Richard Luhende

Wajumbe wa Kamati ya Utendaji:

1. Francisco Magoti

2. Geofrey Tibakyenda

3. Jackline Burahi

4. Twahil Njoki

5. Mariam Richard

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527