Picha!! MBUNGE ESTER BULAYA AWASILI JIJINI MWANZA,BAADA YA KUKAMATWA NA POLISI KUTOKA MWANZA HADI DAR,AISHANGAA SERIKALI
Sunday, March 13, 2016
Mbunge wa Bunda mjini.Ester Bulaya amewasili jijini Mwanza usiku
huu baada ya kuhojiwa kwa masaa matatu jijini Dar na kikao
cha kamati ya haki, kinga na madaraka ya bunge. Bulaya
alikamatwa usiku wa manane wa kumkia Machi 12,2016 kwa amri ya spika wa
bunge ambapo alisafirishwa hadi jijini Dar es Salaam kwa ndege
kujibu tuhuma zinazomkabili. Akiongea na waandishi
wa habari baada ya kurejea jijini Mwanza usiku huu, Bulaya
amesema anashangazwa na kitendo cha serikali kutumia pesa na
nguvu nyingi kumkamata wakati pesa hizo zingeweza kutumika
kuboresha maisha ya askari polisi
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin