Magufuli akiongea na Wazee wa Dar es Salaam Amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na Kusema siku akipanda cheo watu wasinung'unike, kazi yake imeoneakana na heshima yake imeonekana
Hongera Makonda. Nyota yako imewaka. Mh Raisi kakuona... Sasa usiende kulala.