Baraza la mitihani la taifa limetangaza matokeo ya kidato cha nne ambapo Watahiniwa 113,489 wamefeli mtihani wa kidato cha 4 mwaka 2015 na watahiniwa 272,947 wamefaulu.
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527