Picha!! HUYU NDIYO MTOTO WA SOKWE ALIYEZALIWA KWA NJIA YA UPASUAJI
Tuesday, February 23, 2016
Professa David Cahill amezichukua Headline za Feb 23 baada ya kumzalisha Sokwe kwa mara ya kwanza kwa njia ya upasuaji, Sokwe huyo ambaye alihitaji msaada wa kupumua , ndipo alipofanyiwa upasuaji katika hali isiyo ya kawaida. mpaka sasa Mtoto wa Sokwe anaendelea vizuri baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida, Sokwe huyo alizaliwa kwa njia ya upasuaji usio wa kawaida baada ya mama yake kuonyesha ishara ya ugonjwa hatari wa shindikizo la damu, Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin