ANGALIA PICHA ZA AJALI YA BASI LA MASHIMBA EXPRESS KUGONGANA NA GARI NDOGO NA KUUA WATU WANNE PAPO HAPO SHINYANGA



Basi la Mashimba Express baada ya kugongana na gari ndogo katika eneo la Maganzo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga leo wakati likitoka Kahama kuelekea jijini Mwanza.Watu wanne wamepoteza maisha na wengine nane kujeruhiwa.SOMA HABARI KAMILI HAPA



Miili ya marehemu ikiwa karibu na basi la Mashimba Express



Kulia ni gari dogo



Muonekano wa gari dogo

SOMA HABARI KAMILI HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527