ANGALIA PICHA ZA AJALI YA BASI LA MASHIMBA EXPRESS KUGONGANA NA GARI NDOGO NA KUUA WATU WANNE PAPO HAPO SHINYANGA
Thursday, February 25, 2016
Basi la Mashimba Express baada ya kugongana na gari ndogo katika eneo la Maganzo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga leo wakati likitoka Kahama kuelekea jijini Mwanza.Watu wanne wamepoteza maisha na wengine nane kujeruhiwa.SOMA HABARI KAMILI HAPA
Miili ya marehemu ikiwa karibu na basi la Mashimba Express
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin