ZITTO KABWE: SERIKALI YA AWAMU YA 5 IMEANZA NA MGUU MBAYA,ISIPOJIPANGA UPYA ITAENDELEA KUAIBIKA



 


Kauli za Zitto Kabwe Asubuhi ya leo Facebook;

"Serikali ijue kuna Bunge. Bunge lina wabunge makini na wenye mapenzi ya dhati kwa Taifa letu. Serikali isipojipanga upya itaendelea kuaibika"



"Bunge limeiamuru Serikali kuleta Mpango wa Maendeleo. Shughuli ya kwanza ya Serikali Bungeni imeondolewa kwa hoja kutoka Upinzani. Serikali ya Awamu ya 5 imeanza na mguu mbaya. Wajue Bunge lipo. Hatuburuzwi"

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527