RAIS MAGUFULI AMKATALIA MKUU WA MAJESHI TANZANIA JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE





Rais John Magufuli, amemkatalia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, kustaafu na amemuongezea muda wa mwaka mmoja wa utumishi kwenye jeshi hilo.


Taarifa hiyo ilitolewa kwa waandishi wa habari na Mwamunyange mwenyewe jana, wakati akizungumzia uteuzi uliofanywa na Rais Magufuli katika ngazi mbalimbali za majeshi na vyuo vyake, Makao Makuu ya Jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam.


ENDELEA KUSOMA HABARI HII >>HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments