RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI WA TAKUKURU DR HOSEA
Wednesday, December 16, 2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa TAKUKURU Dk. Edward HOSEA, kwa kushindwa kupambana na rushwa hasa upotevu wa mapato ya serikali bandarini.
Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bwana Valentino Mlowola ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin