Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Breaking News!! DEO NSOKOLO ACHAGULIWA KUWA RAIS WA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA,JANE MIHANJI ANG'AA TENA UMAKAMU WA RAIS,PICHA NYINGI ZIKO HAPA



Rais mpya wa UTPC Deo Nsokolo akiomba kura kabla ya uchaguzi-Picha zote na Malunde1 blog





Makamu wa rais mpya wa UTPC Jane Mihanji akizungumza kabla ya uchaguzi




Rais mstaafu wa UTPC Kenneth Simbaya akizungumza kabla ya uchaguzi





Bodi ya wakurugenzi UTPC iliyomaliza muda wake ikijiuzulu kabla ya uchaguzi





Masanduku ya kupigia kura






Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Ulimboka Benjamini Mwakilili akielezea taratibu za uchaguzi





Mkurugenzi wa Uchaguzi Juma Nyumayo


Mkutano mkuu wa wanachama wa Muungano wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania-UTPC ambao wajumbe wake ni wenyeviti wa klabu za waandishi wa habari Tanzania,makatibu na waweka hazina umefanya uchaguzi kwa viongozi wapya leo mjini Morogoro.
Kamati ya Uchaguzi mkuu wa rais wa UTPC na wajumbe wa bodi ya wakurugenzi UTPC mwaka 2015 imetangaza majina ya viongozi wapya wa UTPC...Wapiga kura walikuwa 77.



Matokeo ya Uchaguzi UTPC 2015- Wafuatao ndiyo viongozi waliochaguliwa


*Rais wa UTPC- Deo Nsokolo kutoka Kigoma Press Club


*Makamu wa Rais UTPC-Jane Mihanji -Kutoka Dar City Club



Wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi UTPC-Kundi la Wanawake


*Salma Abdul -kutoka  Tabora Press Club


*Stella Ibengwe -Kutoka Shinyanga Press Club


*Anna Paul Makange-kutoka Tanga Press Club


*Pendo Mwakyembe -kutoka Mara Press Club


Wajumbe wa Bodi kutoka Tanzania Visiwani


*Mfaume Abdulrahman-Kutoka  Zanzibar


Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi UTPC Tanzania Bara kundi la Wanaume


*Bashaya Phinias -kutoka Kagera Press Club


*Chidawali Stephen-kutoka Central Press Club Dodoma


*Kuchonjoma Andrew -kutoka Ruvuma Press Club


*Leonard Frank-kutoka Iringa Press Club




Viongozi wapya UTPC 2015




Viongozi wapya UTPC 2015



Viongozi wapya UTPC 2015,Kushoto ni mkurugenzi wa UTPC Abubakar Karsan



Makamu wa rais Jane Mihanji aliyefanikiwa kutetea nafasi hiyo akishikana mkono na rais mpya wa UTPC Deo Nsokolo baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi huo,hawa wawili walikuwa wanawania nafasi ya urais,lakini pia nafasi ya makamu wa rais


Viongozi wapya UTPC 2015
Mkurugenzi UTPC Abubakar Karsan,makamu wa rais UTPC Jane Mihanji na rais mpya wa UTPC Deo Nsokolo


Rais mstaafu UTPC Kenneth Simbaya akimpongeza makamu wa rais Jane Mihanji

Rais mstaafu UTPC Kenneth Simbaya akibadilishana mawazo na mwenyekiti wa klabu ya waandishi mkoa wa Shinyanga,pia mkurugenzi wa Malunde1 blog ndugu Kadama Malunde
Mwenyekiti wa klabu ya waandishi mkoa wa Shinyanga,pia mkurugenzi wa Malunde1 blog ndugu Kadama Malunde akiwa na makamu wa rais UTPC Jane Mihanji


Mwenyekiti wa klabu ya waandishi mkoa wa Shinyanga,pia mkurugenzi wa Malunde1 blog ndugu Kadama Malunde akimpongeza rais wa UTPC Deo Nsokolo

Mwenyekiti wa klabu ya waandishi mkoa wa Shinyanga,pia mkurugenzi wa Malunde1 blog ndugu Kadama Malunde akimpongeza rais wa UTPC Deo Nsokolo

Pamela Mollel kutoka Arusha akiwa na rais wa UTPC Deo Nsokolo
Wajumbe wa mkutano mkuu UTPC 2015-Picha zote na Malunde1 blog 
BOFYA HAPA KUANGALIA PICHA- MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WA MUUNGANO WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA- UTPC MJINI MOROGORO

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com