Hapa ni katika ukumbi wa Vijana Center uliopo katika kanisa la Mama Mwenye Huruma Ngokolo mjini Shinyanga,ambako leo Oktoba 30,2015 kumefanyika mdahalo maalumu ulioandaliwa na Radio Faraja Fm Stereo kwa kushirikiana na BBC Media Action ukiwa na mada "Je ni nani anawajibika kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kuwepo nchini Tanzania baada ya uchaguzi mkuu".Wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali,vyama vya siasa,dini,wananchi,wanaharakati,taasisi za kiraia,waandishiwa habari na wananchi wamejadili masuala mbalimbali yatakayohakikisha amani ya nchi inaendelea kuwepo.
Wadau hao wa amani wamekubaliana kulinda amani ya nchi baada ya uchaguzi huku wakisisitiza ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha kuwa amani iliyopo inadumu.Aidha wamesema ni vyema viongozi wa dini,siasa,wanaharakati,waandishi wa habari na kila mpenda amani anaepuka vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu…Hali kadhalika wamewataka viongozi wa siasa kuchunga ndimi zao ili kuliepusha taifa kuingia katika vurugu kwani wao ndiyo wana makundi makubwa ya vijana nyuma yao ambayo kwa asilimia kubwa yanategemea kauli za viongozi wao….. -Malunde1 blog ilikuwepo eneo la tukio..angalia picha 50 za tukio hilo....
Kushoto ni Noel Thomson kutoka BBC Media Action akiwa ukumbini,katikati ni mshariri mkuu wa Radio Faraja bwana Simeo Makoba(aliyekuwa MC katika mdahalo huo)
Wadau wakiwa ukumbini kujadili mstakabali wa taifa baada ya uchaguzi mkuu Tanzania
Washiriki wa mdahalo wakiwa ukumbini
Watangazaji kutoka Radio Faraja Fm Stereo wakiwa ukumbini
Justina Marwa wa BBC Media Action(kushoto),akifuatiwa na Nunu Abdul na Wezay Ally wakiwa ukumbini
Mwongozaji wa mdahalo huo Veronica Natalis akiwa ukumbini
Wadau wa amani wakiwa ukumbini
Meza kuu
Mwongozaji wa pili wa mdahalo huo bwana Steve Kanyefu akiwa ukumbini
Mwanasheria Penina Samwel akijitambulisha ukumbini
Mkurugenzi wa shirika la Agape mkoani Shinyanga John Myola akiwasalimia washiriki wa mdahalo huo
Mwakilishi wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga ACP Dismas Gapi Kisusi akizungumza
Wadau wakiwa ukumbini
Diwani wa kata ya Ngokolo mjini Shinyanga Ntobi Emmanuel akiwa ukimbini
Mkurugenzi wa Malunde1 blog,bwana Kadama Malunde akiwa ukumbini
Wadau wa amani wakiwa ukumbini
Mdahalo unaendelea
Mdahalo unaendelea
Mwakilishi wa sheikh wa mkoa wa Shinyanga,Sheikh Majaliwa Masoud akiwa ukumbini
ACP Dismas Gapi Kisusi akiwa ukumbini
Kushoto ni askofu John Nkola wa kanisa la AICT Dayosisi ya Shinyanga akiwa na mkurugenzi wa shirika la Agape John Myola
Katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga Boniface Chambi kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akizungumza ukumbini
Kushoto ni mtangazaji wa radio Faraja Agnes Kambarage,akifuatiwa na Justina Marwa kutoka BBC Media Action,kulia ni mtangazaji wa radio Faraja Nunu Abdul
Watangazaji wa Radio Faraja Faustine Kasala(kushoto) na Magera Evarist wakifanya yao
Mkazi wa Shinyanga akizungumza
Mkazi wa Shinyanga akizungumza ukumbini
Mdahalo unaendelea
Kulia ni aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini kupitia chama cha APPT Maendeleo Elisiana Tambwe akiwa ukumbini
Mdahalo unaendelea
Mkuu wa kituo cha Watoto wenye ulemavu cha Buhangija Peter Ajali akiwa na diwani mteule wa kata ya Ndembezi David Nkulila(kulia)
Mdahalo unaendelea
Mdahalo unaendelea
Mdahalo unaendelea
Askofu John Nkola akisisitiza jambo
Afisa maendeleo wa manispaa ya Shinyanga Mwanamsiu Dosi kwa niaba ya mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga akizungumza ukumbini
Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo mkoa wa Shinyanga Siri Yasin akizungumza
Diwani wa kata ya Ngokolo Ntobi akizungumza
Aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini kupitia chama cha APPT Maendeleo Elisiana Tambwe akizungumza
Diwani wa kata ya Ndembezi David Nkulila akizungumza
Mchungaji wa kanisa la Gilgari mjini Shinyanga akizungumza
Mdahalo unaendelea
Mdahalo unaendelea
Mkurugenzi wa Malunde1 blog,Kadama Malunde akizungumza ukumbini
Waongozaji wa Mdahalo Steve Kanyefu na Veronica Natalis wakiteta jambo ukumbini
Watangazaji wa radio Faraja,Moshi Ndugulile,Faustine Kasala,Steve Kanyefu na Veronica Natalis wakiwa ukumbini baada ya mdahalo kumalizika
Watangazaji wa radio Faraja Isack Edward,Moshi Ndugulile na Nunu Abdul wakiwa nje ya ukumbi wa mdahalo...Picha zote na wapiga picha wa Malunde1 blog
Social Plugin