Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

NIMEKUSOGEZEA PICHA 43 ZA SHOW MATATA LEO SHINYANGA YA WASANII NGULI TANZANIA,YUMO BHUDAGALA, H BABA, SENGA NA PEMBE




Hapa ni katika uwanja wa Masagala -Maganzo wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga ambako leo kumefanyika show babu kubwa iliyokutanisha wasanii nguli nchini Tanzania wakiongozwa na msanii wa nyimbo za asili Bhudagala Mwanamalonja aliyeongozana na kundi lake matata la wacheza sarakasi.Wasanii wengine ni H Baba ambaye ni msanii wa nyimbo za kizazi kipya,wengine ni wachekeshaji maarufu nchini Tanzania Senga na Pembe.Hii ni show ya kutambulisha albamu mpya 2015 ya msanii Bhudagala inayojulikana kwa jina la Mhunda...Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,ndugu Kadama Malunde alikuwepo eneo la tukio ametusogezea picha 43....Angalia hapa chini




Wanenguaji wa msanii Bhudagala Mwanamalonja wakicheza katika uwanja wa Masagala -Maganzo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga leo


Burudani inaendelea


Wachezaji wa Bhudagala wakicheza kwa madaha


Waigizaji/Wachekeshaji maarufu nchini Tanzania Senga na Pembe wakitoa burudani katika uwanja wa Masagala Maganzo


Senga na Pembe akionesha vituko vyao uwanjani


Senga na Pembe wakifanya yao uwanjani


Ikafika zamu ya H Baba-pichani ni mrembo wa Maganzo baada ya kudata na nyimbo za H Baba akaamua kuingia uwanjani na kuanza kukata viuno....hahahaaaa ilikuwa balaa sana hadi mtu mzima H Baba akabaki ameduwaaa


Msanii H Baba akiimba wimbo wa Kula Lazima


Mcheza Sarakasi kutoka kundi la sarakasi la msanii Bhudagala akicheza mchezo wa kubalance,yuko juu ya meza,kwenye meza kuna chuma cha duara,juu ya chuma kuna ubao,halafu jamaa kakanyanga magongo mawili bila kuanguka....


Kikosi Kazi cha Msanii Bhudagala kikitoa burudani



Duh!! huyu mnenguaji wa H Baba anacheza kwa kutumia kichwa....



Msanii H Baba akifurahia jambo baada ya watoto hao wawili kucheza uwanjani



Burudani kutoka kwa H Baba inaendelea



Mnenguaji wa H Baba akionesha kipaji chake cha kucheza



Ni balaa,mnenguaji wa H Baba akicheza na kiti



H Baba na mnenguaji wakitoa burudani



Burudani inaendelea



Mnenguaji matata wa msanii H Baba akitoa burudani



Msanii H Baba akiwa na mnenguaji wake wakifanya yao



Mcheza sarakasi maarufu wa jina la Mawazo akizungusha ringi kwa kutumia miguu



Mcheza sarakasi Bonge akicheza mpira kwa kutumia kijiti tena kakibana kwa mdomo



Mcheza sarakasi Bonge akifanya yake....Chupa juu ya kijiti



Mcheza sarakasi kutoka kundi la msanii Bhudagala anaitwa Bonge akionesha mchezo wa kubalance,kapachika kijiti mdomoni,halafu kaweka chupa juu ya kijiti flani hivi halafu akaweka chupa mbili....



Kikundi cha Sarakasi cha msanii Bhudagala wakionesha mchezo wa kubalance kama unavyoona pichani,wamepanda juu ya meza,kikawekwa chuma cha duara,kisha ubao halafu ndiyo wakabebana...Ni Hatari....lakini wenyewe wanasema ni mazoezi...


Kikundi cha Sarakasi cha msanii Bhudagala wakionesha mchezo wa kubalance kama unavyoona pichani,wamepanda juu ya meza,kikawekwa chuma cha duara,kisha ubao halafu ndiyo wakabebana...Ni Hatari....lakini wenyewe wanasema ni mazoezi...



Wananchi wakiangalia show



Tunaangalia show



Tunaangalia Show



Wakazi wa Maganzo wakiangalia show



Wakazi wa Maganzo wilayani Kishapu wakishuhudia show



Wanenguaji wakikata viuno balaaaa



Burudani inaendelea



Wanenguaji wa msanii Bhudagala wakicheza



Msanii Bhudagala akiimba na kucheza uwanjani



Wanenguaji wakionesha vipaji vyao



Mbwembwe sasa......



Burudani inaendelea....



Wanenguaji wa Bhudagala wakifanya yao



Bhudagala akicheza na wanenguaji wake wimbo Remmy



Bhudagala akiimba wimbo wake mpya unaitwa Mhunda...



Burudani inaendelea

Wanenguaji wa Bhudagala wakifanya yao




Msanii Bhudagala Mwanamalonja akiimba uwanjani
Picha zote na Kadama Malunde- Malunde1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com