Picha 18_ MAFURIKO YA AJABU YA LOWASSA HUKO TANGA,WATU ZAIDI YA 50 WAZIMIA,MKUTANO WAAHIRISHWA

Wananchi waliolazwa chini baada ya kuzimia ni ndani ya mkutano ulioahirishwa Tanga uwanja ulikuwa mdogo sana.
 SOMA TAARIFA KAMILI HAPA












Kampeni za mgombea urais kupitia ukawa zilizokuwa zifanyike Tanga jana zimeahirishwa kutokana na msongamano mkubwa sana wa watu ambao wamekuwa wakibanana na kukosa hewa na kupelekea watu kupoteza fahamu.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527