Homeburudani MWILI WA MAREHEMU BANZA STONE UTAZIKWA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM Friday, July 17, 2015 Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia leo mchana baada ya kuugua kwa muda mrefu.Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Khamis Ramadhani amesema Banza Stone atazikwa kesho jioni jijini Dar es salaam Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 Tags: burudani habari Facebook Twitter