MWILI WA MAREHEMU BANZA STONE UTAZIKWA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM


Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia leo mchana baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Khamis Ramadhani amesema Banza Stone atazikwa kesho jioni jijini Dar es salaam

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post