News Alert!! BUNGE LAVAMIWA ,MABOMU, RISASI VYATUMIKA,HATARI SANA

Bunge Paki ii

Hali sio nzuri Afghanistan, kingine kilichochukua headlines kwenye TV za Kimataifa na Mitandaoni ni ishu ya kuvamiwa kwa Bunge la nchi hiyo, mabomu na risasi vimetumika pia !!

Wavamiaji hawakuwa na nia njema, ripoti zinaonesha jamaa hao walikuwa sita na ni members wa Kundi la Taliban.

Polisi wamefanikiwa kuwaua jamaa hao ambao walikuwa na silaha pamoja na mabomu, hapa ninazo picha ambazo zinaonesha jengo la Bunge kwa ndani likiwa na moshi mzito. Bunge Paki III
Bunge Paki
Bunge V
Wabunge wa Afghanistan wakiwa nje ya eneo la Bunge baada ya Shambulio hilo.
Bunge
Wavamiaji hao walilipua gari moja nje ya Jengo la Bunge kabla ya kuvamia ndani !! Watu 18 wameumia kwenye tukio hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post