Mapenzi Noma!! MWANAMKE HUYU KAVURUGWA,KAAMUA KUVAMIA STUDIO ZA RADIO...KILICHOFUATA NI STORI...



Mwanamke mmoja nchini Nigeria ametangaza kupitia redio kuwa anatafuta mume, akisema atampa gari na nyumba. Mamia ya wanaume walifurika kituo cha radio cha Freedom, mjini Kano ambapo polisi walilazimika kuitwa kutuliza watu. Msichana huyo, Zainab Abdulmalik, 22, amesema alikuwa amekasirishwa mno na 'boyfriend' wake wa zamani. 

Mtangazaji wa redio - Nasiru Zango- ameiambia BBC kuwa Zainab alichagua mchumba kutoka katika mlolongo mrefu wa wanaume waliokuwa wamejipanga nje ya kituo cha redio na kuondoka.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post