Breaking News!! UGONJWA WA AJABU WAIBUKA HUKO SIMIYU,MPAKA SASA WAATHIRIKA NI 80!!,UNAANZA KWA KUONGEA OVYO,UNAPIGA WATU KISHA UNAANGUKA


Hali ya taharuki imewakumba wananchi katika wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu, baada ya kuibuka ugonjwa wa ajabu uliowakumba wananchi hao ambao dalili zake ni kuongea ovyo, kuishiwa nguvu pamoja na kuumwa kichwa.

Bado haijajulikana ni aina gani ya ugonjwa kutokana na baadhi ya waathirika waliofikishwa katika vituo vya afya kupimwa na kubainika hawana ugonjwa wowote na badala yake kubaki wakiweweseka.

<<<SOMA HABARI KAMILI HAPA>>>

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post