![]() |
Wauguzi wakiwa katika maandamano hayo |
![]() |
Wanafunzi kutoka Chuo cha Uuguzi Kolandoto wakiwa katika maandamano hayo kuelekea viwanja vya Shycom mjini Shinyanga ambako ndiko maadhimisho hayo yanafanyika |
![]() |
Usalama barabarani ulikuwepo wa kutosha |
![]() |
Waandamanaji wakipita karibu na ofisi za TANESCO mjini Shinyanga |
![]() |
Wapiga tarumbeta wakifanya yao |
![]() |
Wauguzi wakiandamana |
![]() |
Maandamano yanaendelea |
![]() |
Hapa ni katika banda la vyuo vya uuguzi ambao wanafanya maonesho ya taaluma ya uuguzi |
![]() |
Muuguzi akionesha kwa vitendo namna akina mama wanavyojifungua |
![]() |
Ndani ya moja ya mabanda |
![]() |
Mtaalam kutoka Red cross akitoa maelekezo kwa mgeni rasmi katika banda lao la kutolea damu |
![]() |
Waandamanaji wakiwasili katika viwanja vya Shycom |
![]() |
Meza kuu wakiwa wamesimama kupokea maandamano |
![]() |
MC akifanya yake wakati wa kupokea maandamano |
![]() |
Aliyesimama ni muuguzi mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt Fabian Kalabwe akikaribisha wageni |
![]() |
Meza kuu wakifuatilia kinachojiri |
![]() |
Wanakwaya kutoka chuo cha Uuguzi Kolandoto wakitoa burudani |
![]() |
Wageni mbalimbali wakifuatilia kilichokuwa kinajiri |
![]() |
Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt Ntuli Kapologwe akizungumza wakati wa ufunguzi maadhimisho ya siku ya Wauguzi kitaifa yanayofanyika mkoani Shinyanga |
![]() |
Wauguzi wakiwa eneo la tukio |
![]() |
Muuguzi mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt Fabian Kalabwe akisoma risala |
![]() |
Wanenguaji kutoka kundi la Medical Culture wakitoa burudani |
Bendi ya Medical Culture wakitoa burudani
![]() |
Mkuu huyo wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro alizungumzia pia umuhimu wa wananchi kutumia vyandarua vyenye viwatilifu |
![]() |
Picha ya pamoja baada ya uzinduzi |
![]() |
Picha ya pamoja baada ya uzinduzi |
Social Plugin