Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Tanzia_ MKUU WA WILAYA YA KYERWA AFARIKI DUNIA

 

Mkuu wa wilaya ya Kyerwa iliyoko Kagera, Luteni Kanali Mstaafu Benedict Kulikila Kitenga amefariki dunia katika hospitali ya Muhimbili kutokana na shinikizo la damu na mazishi yanatarajiwa kufanyika tarehe 23, Kola hill Morogoro.
 Chanzo-EATV

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com