![]() |
Jukwaa kuu-Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la PSPF ndugu Andrew Mkangaa( wa tatu kutoka kulia) |
![]() | |||
Wazazi,wageni waalikwa katika mahafali ya wanafunzi wa chuo cha Ualimu Shycom wakiwa katika Chuo hicho |
![]() |
Kikundi cha Kwaya cha Wahitimu wakiimba |
![]() |
DJ Macsteve akifanya yake |
![]() |
Kwaya inaendelea |
![]() |
Wazazi wakifuatilia kilichokuwa kinajiri |
![]() |
Wahitimu wakiwa eneo la tukio |
![]() |
Sherehe inaendelea |
![]() |
Wahitimu wakiwa eneo la sherehe |
![]() |
Furaha ilitawala |
![]() |
Wengine wakawa hawaamini kama wanahitimu |
![]() |
Sherehe inaendelea |
![]() |
Wahitimu wakitafakari maisha baada ya chuo yatakuwaje |
![]() |
Wahitimu wa ngazi ya Stashahada wakiwa eneo la tukio |
![]() |
Meza kuu wakifuatilia kwa umakini kilichokuwa kinaendelea |
![]() |
Huku pembeni nako watu hawakulala |
![]() |
Mchoraji maarufu bwana Abel (Mr Painter) wa mjini Shinyanga naye hakuwa tayari kupitwa na mahafali hayo |
![]() |
Zoezi la kupokea vyeti likaendelea |
![]() |
Wadau wa Malunde1 blog wakiwa katika picha ya pamoja na mhitimu Mariam |
![]() |
Picha ya kumbukumbu |
![]() |
Mama akikabidhi zawadi kwa mwanaye |
![]() |
Zoezi la utoaji zawadi likiendelea,mhitimu akishikana mkono na meneja wa PSPF mkoa wa Shinyanga ndugu Erick Chanimbaga |
![]() |
Mpiga picha maarufu kwa jina la JJ akiwajibika |
![]() |
Zoezi la utoaji Vyeti likiendelea |
![]() |
Zoezi la utoaji vyeti likiendelea,mhitimu akishikana mkono na mkuu wa Chuo cha Shycom Paschal Hai Mangwai |
![]() |
Mgeni rasmi akikabidhi vyeti |
![]() |
Wadau wa Malunde1 blog wakiwa eneo la tukio |
![]() |
Baadhi ya wahitimu wakiwa katika pozi baada ya sherehe kumalizika |
![]() |
Wahitimu hawa wakaamua kula keki ya pamoja |
![]() |
Viongozi wa serikali ya wanafunzi ya Chuo cha Ualimu cha Shycom waliohitimu wakiwa eneo sherehe kupiga stori mbili tatu na Malunde1 blog- -Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog |