List
ya makocha wa mpira wa miguu wanaoongoza kwa kulipwa vizuri kwenye soka
mpaka sasa ambapo namba 1 imechukuliwa na Pep kama unavyoona list nzima
hapa chini
1. Pep Guardiola
Huyu ni kocha wa Bayern Munich,
ameitumikia timu yake kwa mafanikio makubwa huk akiisaidia kupata
mataji mbalimbali, ndiye kocha anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa
kuliko wote kwa kupokea kiasi cha dola milioni 24
2. Jose Maourinho
Huyu ni kocha wa Chelsea ambaye
anajulikana kwa kuwa na maneno mengi,kwa sasa yupo mbioni kuwania
ubingwa wa ligi kuu ya England, ni kocha anashika nafasi ya pili kwa
kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na hupokea kiasi cha dola milioni 17.
3. Marcello Lippi
Ana mchango mkubwa kwenye Timu ya Taifa ya Italy na kufanikiwa kutwaa kombe la dunia mwaka 2006, anapokea kiasi cha dola milioni 14.
4. Fabio Capello
5. Carlo Ancelotti
6. Arsene Wenger
7. Gerardo Martino
8. Jurgen Klopp
9. Manuel Pellegrini
10. Jorge Jesus
Social Plugin