Iyanya amekua akifanya vizuri katika industry ya muziki ndani na nje ya nchi yake ya Nigeria.
Baada ya ile collabo yake aliyomshirikisha Diamond ya ‘Nakupenda’ sasa ameamua kuja na nyimbo nyingine mpya ambayo unaambiwa amemwimbia mtu special.
Nakukaribisha kusikiliza single yake ‘Applaudise’.
Social Plugin