Hii picha ya ajali nimeiona kwenye baadhi ya mitandao ya Nigeria, imenishtua nikaona niifatilie ajali imetokeaje.
Ajali imetokea Kano, Nigeria ambapo watu saba
wamefariki dunia na polisi wanafanya uchunguzi wa tukio hilo.
Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa ajali hiyo imetokana na kuanguka kwa daraja la waenda kwa miguu lilil0kuwa likiendelea kujengwa katika barabara.
Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa ajali hiyo imetokana na kuanguka kwa daraja la waenda kwa miguu lilil0kuwa likiendelea kujengwa katika barabara.
“Mafundi
waliokuwa wanajenga waliwakataza watu wasipite na magari chini ya daraja
kwa sababu bado kazi ya ujenzi ilikuwa ikiendelea, huyo dereva wa taxi
alikiuka agizo hilo..
alikuwa anakatisha na gari ikiwa na abiria, daraja
likaanguka.. wamefariki watu saba..“– Magaji Majiya, msemaji wa Jeshi la Polisi.
Mara nyingi ujenzi ukiwa unaendelea
kwenye barabara kunakuwa na vibao vya maelekezo lakini watu wengi huwa
hawazingatii maelekezo, ndicho ambacho kimetokea kwenye hii ajali ya
Nigeria.