Tanzia_ABDUL BONGE WA TIP TOP CONNECTION AFARIKI DUNIA,MCHEKESHAJI MAARUFU DIFENDA PIA AFARIKI DUNIA !


Abdu Bonge enzi za uhai wake
Aliyewahi kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia ghafla usiku huu akiwa nyumbani kwake.

Akizungumza na EATV, mmoja wa wasanii aliye kundi la Tip Top Connection Madee, amesema kuwa bado hajafahamu chanzo cha kifo ila amefariki ghafla usiku huu akiwa nyumbani na msiba upo Manzese Tip Top.
 
Pia kuna taarifa kuwa  MUIGIZAJI NA COMEDIAN DEFENDA amefariki dunia usiku huu,tutawaletea taarifa kamili hivi punde.....


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527