Wateja wa Bank ya NMB iliyoko Wilayani Geita Mkoani Geita wakiwa
wamepanga foleni zaidi ya masaa 18 kuchukua fedha kwenye ATM.
Inaelezwa kuwa mashine hizo ni mbovu jambo ambalo limekuwa
ni kero kwa wateja hao kwani wateja hao
wanalazimika kufika katika mashine hizo kuanzia saa moja asubuhi hadi saa nne
usiku bila kupata huduma na kulazimika kurudi tena kesho yake,kwani zimekuwa zikiharibika mara kwa mara- picha na
Valence Robert Geita.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin