WAREMBO MAPACHA WAAMUA KUOLEWA NA MWANAMME MMOJA,WANACHANGIA KILA KITU
Wednesday, February 11, 2015
Tumezoea
kuona pacha wengi wakishare mambo wanayopenda kwa pamoja, kitu kama
aina ya mavazi wanayovaa na vinginevyo, iliwahi kutokea story ya mapacha
walioolewa na pacha wenzao Tanga.
Kutoka Afrika Kusini mapacha wawili wanawake, Owami na Olwethu wenye umri wa miaka 26 wameingia kwenye headline kutokana na kukubaliana kuolewa na mwanaume mmoja, Mzukiseni Mzazi ambapo
mapacha hao wamesema walikuwa wakishirikiana kwa mambo mengi tangu
wakiwa wadogo huku wakiwa na ndoto ya kuolewa na mwanaume mmoja.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin