Utafiti!! MAMBO 20 YANAYOFANYA NDOA IDUMU NA IWE YA FURAHA,TENDO LA NDOA LIMEKAMATA NAFASI YA 18!


o-HAPPY-OLDER-AFRICAN-AMERICAN-COUPLE-facebook
Kwa mujibu wa utafiti, tendo la ndoa sio siri ya ndoa yenye furaha. Siri ni mazungumzo ya uhakika.
 Utafiti uliofanywa kwa wanawake na wanaume 2,000 waliooana kwa muongo mmoja au zaidi ushauri wao mkubwa kwa wanandoa wapya ni kuwa na desturi ya kuongea. Cha ajabu tendo la ndoa la kuridhisha lilikamata nafasi ya 18.
Haya ni mambo 20 yaliyotajwa kwa umuhimu wake katika kuwa na ndoa itakayodumu na yenye furaha:
1. Ongeeni
2. Maridhiano/Kupatana
3. Endeleeni kusonga mbele
4. Ifanyie kazi
5. Usiikatie tamaa ndoa kirahisi
6. Msiende kitandani mkiwa mnabishana
7.Kuwa Mvumilivu
8. Sikiliza
9. Kuwa mkweli/muwazi
10. Kuwa na heshima
11. Kuwa Mvumilivu
12. Kuwa na matarajio yenye uhalisi
13. Usiolewe
14. Fanyeni vitu pamoja
15. Wasilianeni
16. Kuwa mstahimilivu
17. Kuwa mwaminifu
18. Kuwa na maisha yenye tendo la ndoa linaloridhisha
19. Kuweni marafiki
20. Jipeni nafasi
Chanzo: Daily Mail

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527