Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi wengine wa CCM
na ndugu wa aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
hayati Dk.Omar Ali Juma wakiomba dua kwenye kaburi lake lililopo Wawi
Mchekeni, Chake Chake ,Pemba
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitia sahihi kitabu cha wageni
kwenye kaburi la hayati Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar hayati Dk.Omar Ali Juma lililopo Wawi Mchekeni, Chake Chake
,Pemba
Kaburi la aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ,Hayati Dk.Omari Ali Juma aliyefariki tarehe4 Julai 2001
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia) akiwa na Sheikh Ali
Abdala Ali pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Vuai Ali Vuai ,
Balozi Ali Karume(kushoto) wakizungumza baada ya kuzuru kabuli la
aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hayati
Dk.Omar Ali Juma wakiomba dua kwenye kaburi lake lililopo Wawi Mchekeni,
Chake Chake ,Pemba