Bungeni Leo!! THUBUTU KULEWA MUDA WA KAZI,UTAKIONA CHA MOTO
Friday, January 30, 2015
Serikali imesema itawachukulia hatua za kinidhamu watumishi wote wa
umma wanaokikuka sheria za kazi kwa kupiga soga ama kulewa wakati wa saa
za kazi.
Hayo yamesemwa bungeni mjini Dodoma na naibu waziri wa kazi na ajira Makongoro Mahanga wakati akijibu swali la mbunge wa tarime mh
nyambari chacha nyangwine aliyetakaa kufahamu mkakati wa serikali wa
kudhibiti nidhamu kazini kutokana na baadhi ya watumishi kulewa nyakati
za kazi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin