ANGALIA PICHA ZAIDI NA VIDEO TUKIO LILILOTIKISA MJI WA SHINYANGA JANA MAKABURINI
Sunday, January 04, 2015
Ndugu wa marehemu akifanya tambiko kwenye kaburi la marehemu Benadetha Steven aliyefariki dunia siku ya mwaka mpya Januari 1,2015 kitendo ambacho kiliwakera wananchi na jana mchana kuondoka eneo ala tukio kisha polisi kuwakamata ndugu wa marehemu na baadaye kuwaachia kisha kuruhusu mazishi yaendelea jana jioni japokuwa mwitikio wa wananchi ulikuwa mdogo
Ndugu wa marehemu akifanya yake kaburini,kulia ni kiboksi kilichokuwa kimebeba kuku aliyechinjwa kisha kuwekwa kwenye tumbo la marehemu na kuzikwa naye.TAZAMA VIDEO HAPA CHINI UONE TUKIO ZIMA
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin