ANGALIA PICHA 37- MAELFU WAJITOKEZA KUMZIKA PADRE MAYUNGA SHINYANGA LEO


Askofu mkuu wa jimbo kuu la Mwanza na msimamizi wa kitume wa jimbo katoliki la Shinyanga mhashamu Yuda Thadeus Ruwaich Leo ameongoza mazishi ya padre Joseph Mabula Mayunga(68)aliyefariki dunia katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza akitibiwa ugonjwa wa tezi dume yamefanyika katika makaburi ya mapadri yaliyopo katika kanisa kuu la Mama mwenye huruma Ngokolo mjini Shinyanga-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog Shinyanga

 Picha marehemu padre Mayunga ikiwa kwenye jeneza-

Padre Mayunga alizaliwa tarehe 27,April 1947 katika kijiji cha Salawe wilaya ya Shinyanga vijijini mkoani Shinyanga na amefariki dunia Januari 17,2015 wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Bugando.

 Ndani ya kanisa la Mama mwenye Huruma ngokolo mjini Shinyanga mapadari wakifuatilia misa ya mazishi,ambapo maelfu ya watu wamejitokeza katika mazishi ya padre Mayunga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Enzi za uhai wake marehemu padre Mayunga aliwahi kufanya utume wake katika parokia za Malili,Ng’wanangi,Ulumya,Chamugasa,Shinyanga mjini na Mwadui kama paroko na kuhudumu katika parokia za Bugisi,Salawe na Buhangija,pia mkurugenzi wa miito na miongoni wa mwa washauri wa askofu jimbo katoliki la Shinyanga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog


Misa inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

“Tarehe 21 Novemba 2014,mapadre wa Buhangija baada ya kuona afya ya padre Mayunga imeanza kutetereka,walitoa taarifa kwa uongozi wa jimbo na uamuzi ulitolewa mara moja kumpeleka Bugando,na akiwa hapo alifanyiwa uchunguzi na kubainika kwamba alikuwa ana tatizo la tezi dume”-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog


Padre Mayunga alifanyiwa upasuaji Desemba 18,2014,siku moja baadaye alipata tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu,alianza kutapika damu na sukari kupanda sana,akapelekwa chumba cha wagonjwa mahututi kwa uangalizi maalum(ICU),Desemba 31,akarudishwa wodini baada ya afya yake kuimarika, baada ya matibabu hayo makubwa na akiwa wodini,hali ya afya yake ilianza kuimarika,lakini mnamo  terehe 17,2015 saa 4 asubuhi hali ya afya ilianza kuzorota ghafla na ilipofika saa 11 na dakika 10 jioni alifariki dunia-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Kanisani leo-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Misa inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

 Misa inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Askofu Ruwaich akiongoza misa ya mazishi ya marehemu Padre Mayunga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Kanisani-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Kanisani-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Misa ya mazishi inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Misa inaendelea
-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Misa inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

 Misa inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Kanisani-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Misa Inaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Askofu Ruwaich akiwa karibu na jeneza la marehemu-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

 Kabla ya kupelekwa mwili wa marehemu kwenye makaburi ya mapadre kwenye kanisa la mama mwenye huruma Ngokolo-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
 Mapadre wakijiandaa kubeba mwili wa marehemu-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
 Padre Sylivanus Kidaha akiwa amebeba picha ya marehemu kuelekea makaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Mapadri wakiwa wamebeba mwili wa marehemu kuelekea makaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

 Jeneza la marehemu likiwa karibu na kaburi-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Askofu Ruwaich akiongoza ibada ya mazishi makaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Wakazi wa Shinyanga na maeneo ya jirani wakifuatilia kilchokuwa kinajiri makaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Jeneza likiingizwa kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Jeneza likiingizwa kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Mwili wa marehemu ukiingizwa kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

mazishi yanaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

 Askofu Ruwaich akiweka udongo kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Askofu Ruwaich akiweka msalaba kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Askofu Ruwaich akiweka shada la maua kaburini-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Mazishi yanaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Baada ya mazishi-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post