Aisha Madinda enzi za uhai wake akifanya yake jukwaani |
Hatimaye mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda umezikwa jioni hii katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza na kuhudhuria maziko ya msanii huyo aliyefariki dunia juzi.
Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza na kuhudhuria maziko ya msanii huyo aliyefariki dunia juzi.
Maziko yakiendelea.
Mungu ailaze roho ya marehemu AISHA MADINDA mahali pema peponi. AMEN.
Waombolezaji wakiweka udongo katika kaburi la Aisha Madinda.
Mungu ailaze roho ya marehemu AISHA MADINDA mahali pema peponi. AMEN.
Mpenzi Msomaji,Tunapenda kukutumia Habari zetu zote mara tu Tunapoziweka Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa "HABARI" VITUKO "MAPENZI", MAGAZETI,UDAKU>
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba +255 688 405 951