Hatari!! JAMAA AUAWA KWA KUKATWA JEMBE AKISHANGILIA MATOKEO YA UCHAGUZI HUKO KAHAMA

Uchaguzi wa serikali za mitaa nchini uliofanyika jana umeendelea kumwaga damu ambapo  mwanamme aitwaye Simeo Isaka (42),mkazi wa kijiji cha Ngokolo kata ya Bukomela wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ameuawa kwa kukatwa na jembe kichwani na watu wasiojulikana wakati akishangilia ushindi wa mgombea wa Chadema ngazi ya mwenyekiti wa kijiji.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo.


Kamanda  wa polisi mkoa wa Shinyanga Justus Kamugisha  amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Na Kadama Malunde-Shinyanga.

Mtandao Huu Unakujali,Ni Wako!! Tunataka Tukutumie Habari zetu Zote Mara Tu Tunapozipandisha Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa Sasa Hivi ><<VITUKO>>,"MAPENZI",<<HABARI MSETO>>MAGAZETI

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post