ANGALIA PICHA- JINSI WATOTO WENYE ULEMAVU WALIVYOUAGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA 2015 SHINYANGA
Tuesday, December 30, 2014
Watoto wenye ulemavu wa ngozi(Albino),watoto wasioona na wasiosikia wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi katika manispaa ya Shinyanga wakiwasili katika kiwanda maarufu cha Chakula cha Musoma Food mjini kwa ajili ya kula chakula kilichoandaliwa na uongozi wa kiwanda hicho lengo likiwa ni kuuaga mwaka 2014 na kukaribisha mwaka 2015 ikiwa ni utaratibu ambao kiwanda hicho kimejiwekea kuwa karibu na watoto hao ambao wanaonekana kutengwa na jamii-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi maarufu kwa jina la Musoma Food akiwapokea watoto hao baada ya kuwasili katika kiwanda chake-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi akimshusha mmoja wa watoto hao kutoka kwenye gari baada ya kuwasili katika kiwanda hicho-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Kulia ni mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi ambapo
alisema walemavu wa ngozi ni binadamu kama walivyo
wengine na kwamba jamii inatakiwa kuachana na imani potofu za ushirikina kuwa
viungo vya Albino vinasaidia kupata utajiri na kwamba utajiri unatokana na juhudi za mtu
wala sio ushirikina -picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Nje ya kiwanda cha Musoma Food kabla watoto hawajaanza kula chakula.Kushoto ni Mama Mkurugenzi wa Musoma Food-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Hapa ni nje ya kiwanda cha Chakula Musoma Food,watoto wenye ulemavu wa ngozi,wasiosikia na wasioona wakichukua chakula cha pamoja kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka 2015 chakula kilichoandaliwa na mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi -picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi akigawa maji ya kunywa kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi,ambapo alitoa wito kwa
watanzania kutowatenga walemavu wa ngozi badala yake wawe karibu nao kwa
kuhakikisha wanakuwa salama-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Watoto wakiendelea kula chakula -picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Mkurugenzi
wa kiwanda cha Musoma Food bwana Said Makiragi akigawa maji kwa watoto hao-picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Watoto wakila chakula -picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Watoto wakiendelea kula chakula -picha na Shaaban Alley-Shinyanga
Mkurugenzi wa Shalleyhabari blog ndugu Shaaban Alley akiwa na mtoto Kabula ambaye alikatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana kutokana na imani za kishirikina
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin