Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

KUHUSU TAARIFA ZA KIFO CHA RAPPER GEEZ MABOVU WA TANZANIA


1509670_480386632081982_344369378_n
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, rapper Geez Mabovu  amefariki jana jioni. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo. 
December 27 mwaka jana, hitmaker huyo wa Mtoto wa Kiume alizidiwa ghafla kabla ya show iliyokuwa ifanyike mjini Iringa kwenye ukumbi wa Twista Night Club alikokuwa atumbuiza na rappers wengine wakiwemo Wakazi, Songa, Jan B na Chidi Benz.Taarifa zaidi zinakuja.
http://photos-c.ak.instagram.com/hphotos-ak-xap1/10810035_344277472418210_1007440266_n.jpg

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com