![]() |
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja akiwa amekaa kwenye gogo akiwa katika uwanja wa kijiji cha Isaka kata ya Isaka akiwa na watoto akiangalia mechi ya kirafiki kati ya timu ya Isaka Star na Home Boys zote kutoka jimbo la Msalala linaloongozwa na mbunge Ezekiel Maige wilayani Kahama mkoani Shinyanga-Picha na Kadama Malunde
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja akikagua timu hizo kabla ya kuanza mchezo huo(jezi nyesi ni timu ya Home Boys).Mgeja alisema ili kuinua sekta ya michezo nchini ni
vyema halmashauri za wilaya mkoani Shinyanga zikawa mstari wa mbele kusaidia sekta ya michezo kwa kutenga fedha kwa ajili ya michezo
huku akisisitiza umuhimu wa kukarabati na kujenga viwanja-Picha na Kadama Malunde
![]() |
Baada ya mchezo kuisha wachezaji wa Isaka Star wakisubiri zawadi yao-Picha na Kadama Malunde![]() |
Mchezaji wa Isaka Star akipokea zawadi ya mipira miwili kutoka kwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja-Picha na Kadama Malunde
Baada ya kupewa zawadi vijana wananyanyuka kurudi majumbani mwao jana jioni/usiku -Picha na Kadama Malunde
![]() |
| Usiku uliingia wengine wakasema hawaondoki uwanjani hadi wapige picha na mwenyekiti wa ccm mkoa wa Shinyanga Khamis Mgeja-Picha na Kadama Malunde |







Social Plugin