YANGA YAICHAPA STAND UNITED BAO 3-0,BILA HURUMA LEO MJINI SHINYANGA
Saturday, October 25, 2014
Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom kati ya Stand United na Yanga uliokuwa unafanyika katika uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga umemalizika huku Yanga ikiichapa Stand Fc bao 3-0.Pichani ni mashabiki wa Yanga wakishangilia baada ya kuwachapa wenyeji Stand United Tatu bila. Jaja ameipatia Yanga bao la kwanza dakika ya 13,huku Jery Tegete akiongeza bao la pili dakika ya 79 na baadaye dakika ya 90 Tegete akaongeza bao la tatu.-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Wapenzi wa mpira wa miguu wakiwa katika uwanja wa Kambarage leo kushuhudia mchezo kati ya Stand United na Yanga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Mashabiki wa Stand United uwanjani-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Mchezo unaendelea-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Dawati la ufundi timu ya Yanga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Kikosi cha Stand United leo
Kikosi cha Yanga leo-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Mashabiki wa Stand united wakiingia uwanjani wakiwa wamepanda juu ya Katapila-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Mashabiki wa Yanga uwanjani-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin