Hivi TANESCO mna nini? mnatukatia umeme tena mnakata kila baada ya dkk 10 tunashindwa kuwaelewa mna tatizo gani? mnajuwa mnakera ni bora mtutangazie tatizo mlilonalo tujue kuliko mnavotufanyia.au mnataka mtuunguzie vitu vyetu? ah! mnaboa bana kila siku nyinyi tu.lini tutaenjoy na TANESCO?
Social Plugin