NI BALAAA_ TAZAMA PICHA WAREMBO SHINDANO LA MISS TANZANIA 2014 WAKIFANYA MAZOEZI JIONI YA LEO

 Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana, jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym'

PICHA ZOTE KWA HISANI YA FATHER KIDEVU BLOG


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527