WANAJESHI WAFANYA USAFI NA KUTOA CHAKULA KITUO CHA WALEMAVU CHA BUHANGIJA SHINYANGA

Wanajeshi wakifanya usafi wa mazingira katika kituo cha Buhangija kilichopo mjini Shinyanga kinacholea watoto wasioona,walemavu wa viungo,wasiosikia na wenye ulemavu wa ngozi (albino).

TAZAMA PICHA NYINGI ZAIDI HAPA


TAFADHALI BOFYA HAPA U LIKE PAGE YETU TUKUTUMIE "HABARI" MOJA KWA MOJA KILA ZINAPOTOKEA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527