Mchezo wa kirafiki baina ya Stand United ya Shinyanga na Nyegezi Terminal ya Mwanza umemalizika huku Stand utd ikiipiga baso 2 Nyegezi terminal ambayo imeambulia bao 1 .
Mchezo huo umefanyika jioni ya leo katika uwanja wa Mkolani jijini Mwanza
Kamana Salum , ameipatia bao la kwanza Stand utd,la pili limefungwa na Kheri Mohamed huku goli la kufutia machozi kwa upande wa Nyegezi terminal likifungwa na Yusuph Shabani kwa njia ya penati.