Mhasibu mkuu wa serikali mkoa wa Shinyanga Burton Mwakanyamale akiweka shada la maua kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa leo |
Mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam akiweka upinde na mkuki katika mnara huo ishara ya kuwakumbuka mashujaa waliopigana vita ya pili ya dunia |
Afisa uhamiaji mkoa wa Shinyanga ndugu Anna maria Yondani akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Shinyanga leo . |
Mzee Omari Mbushi mkazi wa kijiji cha Bugayambelele manispaa ya Shinyanga, ambaye alipigana vita ya pili ya dunia akiweka shoka kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa. |
Viongozi wa madhehebu ya dini na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Shinyanga wakiwa eneo la mnara wa kumbukumbu ya mashujaa. |
Wananchi wakiwa katika eneo la mnara wa mashujaa |
Kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga Annarose Nyamubi ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Shinyanga ,akiweka ngao kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa katika viwanja vya mazingira senta mjini Shinyanga. |