MKE WA MBUNGE WA CCM AUA HOUSE GIRL WAKE,KISA BINTI NI MUISLAM ALILAZIMISHWA KWENDA KANISANI,AKAGOMA

Mfanyakazi wa ndani wa mbunge wa Jimbo la Moshi vijijini Ciril Chami (CCM) aitwaye Mariam Said (16) amefariki dunia mapema alfajiri ya jana ikiaminika kwamba kifo chake kimesababishwa na kipigo toka kwa mke wa Mbunge Chami.

Sababu kubwa imeelezwa kuwa binti huyo ambaye ni muislamu alikataa kata kata kwenda kuhudhuria misa kanisani.
 
Msimamo wa binti huyo ulimpelekea kipigo kikali, na hata mashuhuda walioshuhudia kipigo hicho cha kikatili kwa huyo binti.

 Mke wa Mbunge inasemekana aliwajibu mashuhuda kwa lugha ya kejeli na kuwaambia hakuna mtu anaweza kumfanya chochote hata akimwua, kwani serikali ni yao, na CCM ndiyo inayoongoza dola, kwamba mahakama yetu, polisi wa kwetu, hakuna kima atakayenigusa. 

Alifoka mke wa Chami.

via>>fichuotz

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post