Breaking News_BINTI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKIWA NA JABALI WAKATI AKICHIMBA KOKOTO WILAYANI KAHAMA
Thursday, July 31, 2014
Habari kutoka Kahama mkoani Shinyanga zinasema kuwa binti aliyefahamika kwa jina la Lucia Bahati (25)amefariki dunia,inasemekana alikuwa akichimba kokoto ambazo ni masalia ya kokoto zilizokuwa zikitengenezwa kwa ajili ya ujenzi wa Barabara za lami wilayani Kahama.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin