STEVE NYERERE ACHAGULIWA KUWA KAMANDA MPYA WA CCM TAWI LA BWAWANI

Stori kubwa kutoka town leo ni kuhusu staa wa filamu za kiswahili maarufu kama Bongo Movie na mtaalam wa kuiga sauti za watu mashuhuri kitu kilichompatia jina maarufu la Steve Nyerere kutokana na kumuigiza sana baba wa taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Ishu kubwa kuhusu Steve Nyerere this weekend ni kuhusu kuchaguliwa kuwa Kamanda mpya wa CCM tawi la bwawani.

Tukumbuke kwamba Steve Nyerere ambaye jina lake halisi ni Steve Mengere ni kiongozi wa Bongo Movie Unity!
via>>fichuotz

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527