Pombe siyo Maji!! MENEJA WA CLUB APOTEZA FAHAMU BAADA YA KUBUGIA VIROBA,ALIKUWA ANAONESHA UWEZO KWA MWANAMKE

konyagi
Meneja wa Club ya V.I.P mjini Iringa Mick akiwa amezima baada ya kunywa viroba na kisichana kwa kuonyesha uwezo wake na baada ya dakika 20 akazima kama hivi ,hapa nalazimika kukumbuka ule ujumbe wa chonde chonde! ulevi Nomaaaaaaaaaa!?
konyagi
Mlinzi wa eneo la TFA akijaribu kumsaidia baada ya polisi kufika na kuamua kumwacha kutokana na ugonjwa wake wa pombe kutokuwa na daktari wa kutibu.
konyagi
Hapa idadi ya walinzi ikiendelea kuongezeka eneo la tukio mjini Iringa.
konyagi
Ukisema ulevi noma wapo watakaosema ulevi ni sehemu ya kupoteza mawazo ila kwa tukio hilo kila mmoja anaweza ungana nami kuwa kweli ulevi noma hapa ni eneo na TFA mjini Iringa ambapo meneja huyu wa Club ya V.I.P akiwa amezima kwa kunywa pombe kupita kiasi


CDT: MICHAEL NGILINGWA BLOG

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post