MASKINI TAZAMA WANANCHI HAWA WANAVYOTESEKA NA MTANDAO HUKO SIMIYU
Monday, June 23, 2014
Mkazi wa kijiji cha Ihushi wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu ambaye hakuweza kufahamika jina lake akiwa amesimama juu ya kichuguu akitafuta mawasiliano (Network) ili awasiliane na ndugu ,jamaa zake.Wananchi wa kijiji hiki wanapata changamoto ya mawasiliano kutokana na mtandao kuwa wa shida pindi wanapohitaji kupiga.Mwenzake mwenye kofia anasubiri mwenzake amalize naye apande kwenye kichuguu hicho-picha na Suleiman Abeid -Malunde1 blog-Simiyu
Hapa ni ndani ya nyumba ya mwanakijiji mahali ambapo Network inapatikana,kwa hiyo ukitaka huduma ya mtandao inabidi uonane na wanafamilia wakuruhusu upige simu.Pichani ni simu ambayo imewekwa mahsusi kwa ajili ya huduma kwa wanaoihitaji tena inabidi uweke Loud speaker kwani simu haihamishiki- picha na Suleiman Abeid -Malunde1 blog-Simiyu
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin